Msaada: Namna nzuri ya kutunza siri

Msaada: Namna nzuri ya kutunza siri

Mimi pia kuna kipindi nilikua talkative sana, yaani nilikua siwezi kukaa kimya muda mrefu, tema hasa ukikuta nimekusanya kikundi nadraw attention naweza simulia story mpaka wakasahau wanachotakiwa kufanya, ila hii mbaya pale watu watakapokuhoji vitu vinavyokuhusu, niliapply njia zifuatazo kuondoa hilo tatizo;

1.kutokuwa msemaji wa tukio fulani

2.kutokuonesha kila mtu msimamo wangu juu ya jambo fulani

3.kuwa " a man in mission" yaani nikienda mahali nakuwa niko specific kwa kile nilichofuata.

4.nikikuta wanacheka na mimi nacheka bila kuchangia wakisikiliza na mimi nasikiliza tu
Namba 2 ni bonge la ushauri.

UKIONA KUNA WATU WANAKUKERA UJUE NA WAO UNAWAKERA SEMA WANAKUVUMILIA NA WEWE KUWA MVUMILIVU SI LAZIMA UONGEE.
 
Umaskini sio Tabia..Mkuu umeomba USHAURI wakutunza siri..
Nimekupa ushauri .NAKUHISI KAMA POVU LIMEKUTOKA KWA USHAURI NILIOKUPA AU ULITAKA NIKUPE USHAURI WA UWONGO????.
Hapana nilichoona una poor ideology ya recurrence
 
Dah niko hapa mtunza siri, ukiambiwa jambo mezea na jifanye ni lako huwezi kulitoa kwa mtu yeyote
Ww kuwa mtunza siri ni sawa na mtoto kusema hajadokoa nyama wakati shavu limetuna na mafuta mdomon
 
Mimi pia kuna kipindi nilikua talkative sana, yaani nilikua siwezi kukaa kimya muda mrefu, tema hasa ukikuta nimekusanya kikundi nadraw attention naweza simulia story mpaka wakasahau wanachotakiwa kufanya, ila hii mbaya pale watu watakapokuhoji vitu vinavyokuhusu, niliapply njia zifuatazo kuondoa hilo tatizo;

1.kutokuwa msemaji wa tukio fulani

2.kutokuonesha kila mtu msimamo wangu juu ya jambo fulani

3.kuwa " a man in mission" yaani nikienda mahali nakuwa niko specific kwa kile nilichofuata.

4.nikikuta wanacheka na mimi nacheka bila kuchangia wakisikiliza na mimi nasikiliza tu
Umenipa bonge la somo
 
Back
Top Bottom