Msaada: Namna nzuri ya kutunza siri

Msaada: Namna nzuri ya kutunza siri

Chunga tu kauli zako.

Jitahidi usiwe muongeaji sana maana itakusababisha pia uwe muongo sana
Fact sana tena pia unaeza ku loose respect ukiwa talkative!
 
Mimi pia kuna kipindi nilikua talkative sana, yaani nilikua siwezi kukaa kimya muda mrefu, tema hasa ukikuta nimekusanya kikundi nadraw attention naweza simulia story mpaka wakasahau wanachotakiwa kufanya, ila hii mbaya pale watu watakapokuhoji vitu vinavyokuhusu, niliapply njia zifuatazo kuondoa hilo tatizo;

1.kutokuwa msemaji wa tukio fulani

2.kutokuonesha kila mtu msimamo wangu juu ya jambo fulani

3.kuwa " a man in mission" yaani nikienda mahali nakuwa niko specific kwa kile nilichofuata.

4.nikikuta wanacheka na mimi nacheka bila kuchangia wakisikiliza na mimi nasikiliza tu
 
Mimi pia kuna kipindi nilikua talkative sana, yaani nilikua siwezi kukaa kimya muda mrefu, tema hasa ukikuta nimekusanya kikundi nadraw attention naweza simulia story mpaka wakasahau wanachotakiwa kufanya, ila hii mbaya pale watu watakapokuhoji vitu vinavyokuhusu, niliapply njia zifuatazo kuondoa hilo tatizo;

1.kutokuwa msemaji wa tukio fulani

2.kutokuonesha kila mtu msimamo wangu juu ya jambo fulani

3.kuwa " a man in mission" yaani nikienda mahali nakuwa niko specific kwa kile nilichofuata.

4.nikikuta wanacheka na mimi nacheka bila kuchangia wakisikiliza na mimi nasikiliza tu
Hahahahaaa upo kama mimi sema nimependa iyo MAN IN MISSION
 
Askari wangu naona upo vizuri katika kutafuta hekima.

Big up sana mzazi
 
Kuwa busy,usijichanganye kwenye vikundi vya story,kuliko kukaa kwenye kijiwe angalia movies
 
usipende sifa

jifanye bubu

kisha uwe una respond tu km wakicheka naee cgena km.wakpiga makofi naee piga akofi.

kaa ndan ya mwaka uone.
 
Hapo hamna namna Ndo personality yko, ingawaje unaweza kujizuia mara chache,
 
Mkuu.
95% HII TABIA INAFATA UKOO.
Kama ktk UKOO wenu Yupo/alikuwepo.Mwenye tabia ya
MWONGO
FITNA
KIHEREHERE
MFEDHULI
HAPITWI JAMBO
UMBEA
CHAKUBIMBI
BASI UTAKUA UMERITHI.
YAANI HATA UKAOMBE TIBA/USHAURI KWA DAKTARI BINGWA HAITOSAIDIA..
Wahenga Walishamaliza
"MTOTO WA PANYA HAKOSI,,,,!!!!
 
Mkuu.
95% HII TABIA INAFATA UKOO.
Kama ktk UKOO wenu Yupo/alikuwepo.Mwenye tabia ya
MWONGO
FITNA
KIHEREHERE
MFEDHULI
HAPITWI JAMBO
UMBEA
CHAKUBIMBI
BASI UTAKUA UMERITHI.
YAANI HATA UKAOMBE TIBA/USHAURI KWA DAKTARI BINGWA HAITOSAIDIA..
Wahenga Walishamaliza
"MTOTO WA PANYA HAKOSI,,,,!!!!
Basi kama ukoo wenu kuna mtu alishawahi kuwa maskini na wewe pia utakuwa maskini sio
 
Basi kama ukoo wenu kuna mtu alishawahi kuwa maskini na wewe pia utakuwa maskini sio
Umaskini sio Tabia..Mkuu umeomba USHAURI wakutunza siri..
Nimekupa ushauri .NAKUHISI KAMA POVU LIMEKUTOKA KWA USHAURI NILIOKUPA AU ULITAKA NIKUPE USHAURI WA UWONGO????.
 
Back
Top Bottom