Msaada; Namba ya kupata Vitabu vya Hussein Tuwa

Msaada; Namba ya kupata Vitabu vya Hussein Tuwa

Mr losartan

Member
Joined
Mar 19, 2019
Posts
32
Reaction score
12
Kama Heading inavyojieleza naomba mwenye namba ya Tuwa au Dada mtu ( ambaye nilikuwa nawasiliana naye bahati mbaya nimepoteza simu yangu ). Natanguliza shukrani kwenu wakuu
 
Inategemea upo mkoa gani, kwa dsm vipo kinondoni Kuna duka lao la vitabu linaitwa Kona ya riwaya, au mpigie simu huyu jamaa pia ni mtunzi wa vitabu vya riwaya
0762204166
 
Back
Top Bottom