Msaada nahitaji Projector na ushauri

Msaada nahitaji Projector na ushauri

mandemba

Senior Member
Joined
Apr 7, 2012
Posts
103
Reaction score
19
wakuu heshima kwenu, nahitaji kununua projector kwa shughuli mbambali za kuongeza kipato pia ushauri wa aina ipi ya kudumu na uimara wa stand zake nawasilisha......
 
mkuu Misa PM ya nini?tuwekeee hapa tuone.mi pia naihitaji.

Brands za Acer na Toshiba nimeona zinapiga kazi vizuri sana, Lumens above 2000




Sent from Nokla using Jf app
 
Last edited by a moderator:
Nunua Epson Ninayo natumia full HD 1080 huhitaji kuzima taa unatumia kawaida tu ni nzuri sana au nunua BenQ 521 full HD window 8 nayo unatumia bila kuzima taa
 
ninayo kama hujapata sema,
mpya kwenye box!
 
Nunua Epson Ninayo natumia full HD 1080 huhitaji kuzima taa unatumia kawaida tu ni nzuri sana au nunua BenQ 521 full HD window 8 nayo unatumia bila kuzima taa

Naomba nisaidie muongozo wa bei ikiwa mpya tafadhali
 
Nunua Epson Ninayo natumia full HD 1080 huhitaji kuzima taa unatumia kawaida tu ni nzuri sana au nunua BenQ 521 full HD window 8 nayo unatumia bila kuzima taa

Mkuu tuko pamoja hapa. EPSON ni mwisho wa maneno. Niliinunua mwaka 2009 ikiwa mpya na bulb yake ni ya masaa 3,000 lakini mpaka leo inachapa mzigo na hiyo bulb wala sijaifanyia replacement ingawaje nilinunua bulb mbili kama spea. Namshauri mleta mada anunue EPSON.

Tiba
 
wakuu heshima kwenu, nahitaji kununua projector kwa shughuli mbambali za kuongeza kipato pia ushauri wa aina ipi ya kudumu na uimara wa stand zake nawasilisha......
Mkuu ulishapata? namimi nahitaji epson au hata yoyote nzuri ni ipi?bei yake na mahali pa kununua mkuu
 
Naomba nisaidie muongozo wa bei ikiwa mpya tafadhali

Mimi nina Epson Eb S18 mkuu pia nina BenQ 521 window 8 lakini Epson naikubali kwa bongo sijui mimi nilinunua Dubai kama laki 8 hivi za Bongo tazama hizo Baadhi ya picha zake hapo,hapo nimepiga wakati taa inawaka Sijazima taa,
 

Attachments

  • 1396202120719.jpg
    1396202120719.jpg
    33 KB · Views: 128
  • 1396202136792.jpg
    1396202136792.jpg
    49.2 KB · Views: 115
  • 1396202153787.jpg
    1396202153787.jpg
    43 KB · Views: 114
Mimi nina Epson Eb S18 mkuu pia nina BenQ 521 window 8 lakini Epson naikubali kwa bongo sijui mimi nilinunua Dubai kama laki 8 hivi za Bongo tazama hizo Baadhi ya picha zake hapo,hapo nimepiga wakati taa inawaka Sijazima taa,

mkuu unasema hukuzima taa lakini giza linaonekana pembeni ya picha ulizopiga! angalia na picha ya katikati kuna kitu hapo chini sijui ndio hiyo projector inaonekana ipo gizani. kudanganya kwingine hakuna faida yoyote!
 
Mkuu ulishapata? namimi nahitaji epson au hata yoyote nzuri ni ipi?bei yake na mahali pa kununua mkuu

mkuu Misa PM ya nini?tuwekeee hapa tuone.mi pia naihitaji.

wakuu heshima kwenu, nahitaji kununua projector kwa shughuli mbambali za kuongeza kipato pia ushauri wa aina ipi ya kudumu na uimara wa stand zake nawasilisha......

https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/534934-projectors-for-sale-at-cheap.html
 
Back
Top Bottom