lady mmarangu
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 306
- 164
- Thread starter
- #21
Nadhani ukitoa huo ushauri utasaidia na wengine wenye tatizo kama langu siyo lazima nije kwako
Mungu wetu huwa hachelewi...unamkumbuka sara!Tumeokoka na tunaomba mungu kwa hilo ili atupatie baraka zake,
Tatizo unalo wewe au mumeo?? Nenda kamchukulie trevo kama chupa 2 au 3 matokeo atayapataNadhani ukitoa huo ushauri utasaidia na wengine wenye tatizo kama langu siyo lazima nije kwako
Usichepuke, sasa km mumeo hana uwezo wa kukutia mimba then ukachepuka na kupata mimba unadhan atakubali??Hivi angekuwa mkeo akachepuka ingekuwa poa
Duuuuh kumbe maradhi kayatafuta mwenyewe kwa makusudi!!Miss chagga,hatoi tena hizo manii mana mwanzo alikunywa sana pombe zikakata,ila ameacha mwezi wa 4 sasa
pole, ila ugonjwa wa mumeo sijauelewa bado!Nahitaji msaada wenu ndugu zanguni, mume wangu anasumbuliwa na ugonjwa wa kisukura ya pata miaka 2 sasa, na tunahitaji mtoto ila imekuwa ni shida kupata ujauzito kutokana na hiyo hali yake,imefikia mhali mpaka manii hazitoki kabisa nisaidieni jamani.nawakilisha hili nahitaji mchango wenu.
Sasa muombe ruhusa ili tukusaidie.....Na kuwekewa mtoto garama ni kubwa sana hatutaweza kulimudu hilo
Tumejaribu kwenda kwa doctor na amepewa dawa ila sioni kama zinasidiwa
Kwani yeye alikufuata PM mkuu??Njoo Pm nikupe msaada
Hivi nguvu za kiume anazo huyo mumeo?? Kisukari kinaua nguvu za kiume kabisa!!!Nimwombe ruhusa kivipi mi nahitaji mbegu ya mume wangu c ya mtu mwingine, kabanga naomba uelewe hilo ingekuwa ni kupata kwa mtu mwingine siku mingi nengekuwa nae tena siyo mmoja,