Duhh,aisee
Hii inaonyesha kwamba watu ni walalmikaji saana na sio wabunifu
Jamaa anataka Mayai Idadi kubwa yaani hakuna supplier wa uhakika kila mmoja anajiuma uma.
Na hii inaonyesha hata wafugaji nao sio makini pia kwenye suala la Masoko.
Fursa hiyoo,wakiwekeza wachina tunapiga zogoo eeee