50400/= ni kwa watoto na wanachuo tu.Sikweli bima hizo inaazia 50400 kwawote sio watoto tu sasa utachagua mwenyewe uaze na kifurushi kipi na aina yatatizo ,ukiwa na mtoto mwenye shida yakutosha kiwango hicho hakikidhi ,labda kutibu kamasi na vipimo vya malaria ukishaingia kwenye kipimo kikubwa haisomi
Angalia hapaNahitaji Bima ya NHIF Mimi na watoto wangu wawili pamoja na Mama Mzazi.
Hiyo Bima iwe nation wide (nchi nzima)
Mimi sio mtumishi wa Umma Wala sekta binafsi nimejiajiri.
Wakuu Jambo la Pili nahiitaji ..Kupata mchanganuo wa gharama kwa mwaka Ahsante na Mchana mwema.
Muhaya original
Hapa mbona sijaona kwa watoto tu
Usijali ntaenda hapo Posta
NHIF utopolo mkuu nenda bima za maana ukakate, tulio nhif tunataman kukimbia, kuna mabima yanatibu kila hospitaliNahitaji Bima ya NHIF Mimi na watoto wangu wawili pamoja na Mama Mzazi.
Hiyo Bima iwe nation wide (nchi nzima)
Mimi sio mtumishi wa Umma Wala sekta binafsi nimejiajiri.
Wakuu Jambo la Pili nahiitaji ..Kupata mchanganuo wa gharama kwa mwaka Ahsante na Mchana mwema.
Muhaya original
Kama yapi?NHIF utopolo mkuu nenda bima za maana ukakate, tulio nhif tunataman kukimbia, kuna mabima yanatibu kila hospitali
Embu tutajie bima za maana ambazo bei zake sio ghali sana na sisi tukimbilie hukoNHIF utopolo mkuu nenda bima za maana ukakate, tulio nhif tunataman kukimbia, kuna mabima yanatibu kila hospitali
Mkuu kwani unaishi wapi, Mimi natumia NHIF hospital za private karibu zote Tena zenye ubora. Mtoto wangu alilazwa kwenye hospital nzuri Sana ya private NHIF hii ya 50400 ilimlipia Kila kitu.NHIF utopolo mkuu nenda bima za maana ukakate, tulio nhif tunataman kukimbia, kuna mabima yanatibu kila hospitali
Kifupi ni kuanzia watoto mpaka mwanafunzi wa Bachelor.50400/= ni kwa watoto na wanachuo tu.
Bora AAREmbu tutajie bima za maana ambazo bei zake sio ghali sana na sisi tukimbilie huko
Wafanyakazi wa pale Wana nyodo sio poa, ukifika unaonekana kama umekuja kuomba vileNHIF ina ofisi zake na makao makuu yapo dsm.
Better tu uende hapo nijuavyo bima hii ipo juu kiasi na wana some conditions.
Huku huwezi pata unachotaka mia kwa mia
Wanafanya kazi kama wanabembelezwaWafanyakazi wa pale Wana nyodo sio poa, ukifika unaonekana kama umekuja kuomba vile
Hii haipo mbona
Watoto wakatiee bima wao kama wao , usiwaingize kwenye plan yako ,k2a kila mtoto utalipia 50,000Nahitaji Bima ya NHIF mimi na watoto wangu wawili pamoja na Mama Mzazi.
Hiyo Bima iwe nation wide (nchi nzima)
Mimi sio mtumishi wa Umma Wala sekta binafsi nimejiajiri.
Wakuu Jambo la Pili nahiitaji ..Kupata mchanganuo wa gharama kwa mwaka Ahsante na Mchana mwema
Muhaya original
Miyayusho tu, wanaboa sanaWanafanya kazi kama wanabembelezwa
Ila dawa yao ukifika pale ni kuwanyoosha tu
Ova