jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 21,689
- 41,849
Nasikia kakonko nako ni mwendo wa kuwekeana sumu..panaitwa poison city.Kweli mkuu utakuwa hauko sawa halafu uko mkoa gani labda,kama uko ukerewe ukianza kukohoa kikoozi kikavu jua ndio baibai
#MaendeleoHayanaChama