Yap naweza kukubaliana nawewe katika hili,ila hapo ndo malipo na udhaifu wangu na nimekiri mkuu,naomba basi uniambie sasa how to overcomehuna moyo wa kiume wewe,bado mvulana, yani hakuna kitu simple kama kuvunja uhusiano, eti kisa anatoa machozi ndio usimuache.? wangapi wametoa kabla yake na wakaachika tu.?
wewe bado mvulana sana,machozi hayaui,naona bado unampenda wewe endelea na jimama lako tu.
mapenzi ni kama ushuzi ukijilazimisha utaarisha.[emoji41]
wanaume wote ni malaya tu na hii ni urithi toka kwa ADAM ,ukiona mwanaume anakwambia yeye sio malaya jua huyo ni mpiga nyeto za sabuni au petrol.Kuwa na wanawake wengi sio sifa ni UMALAYA
hahahahahahahahaMbona Zari 36yrs yupo na Diamond 26yrs
Eeeh biblia yangu kuna page zinamiss nadhani, mwanamke wa kwanza wa Adam alikua nani? Mid kwangu hiyo page haiponi kweli hata ADAM alikua malaya kwani EVA hakua mwanamke wake wa kwanza, kwaio na mimi nimerithi mikoba yake, kama alimuacha lilith kisa alikua apewi unyumba akaenda kwa EVA, sasa iweje mimi nivumilie ujinga wakati kwa mujibu wa sensa ya tz inaonesha kila mwanaume mmoja anapasea amiliki wanawake 10.? yani mmoja uniumize wakati enzio tisa wako bench.?
ni uzembe sana nawapa namba waingie dimbani tu.
ahaaaaaa lohHaha. Nimependa hapo "ulipojikuta" uko nae sehemu isiyo salama, na mkafahamiana. Kama humpendi usijilazimishe, jikute tu umemuacha. A broken life is worse than a broken heart.