Huyu mtu kamaliza mtihani wake wa diploma in dental thrapy NTA level 6. sasa unampa GPA ya ngapi maana kaaply na smekosa vyuo vyote.Hawa NACTE wanapangaje?
73-
60-
60-
57-
58-
60-
Sasa huyu dogo ana GPA ya ngapi kwa mujibu wa NACTE?
Hapana mkuu, huyu kasomea chuo cha serikali kilichosajiliwa. Haya ni matokeo ya mudules zake za mwisho.Ila kuna mwenzake matokeo yanafanana amechaguliwa health system management Mzumbe.Mbona umeweka matokeo ya semester moja?? Overall results ya 2 years..yanasemaje?? Je alisoma chuo kinachotambuliwa na nacte?? I mean kimesajiliwa na nacte?? Na aliomba chuo gani? Na aliomba kozi ipi?
Nafikiri alifuata utaratibu, anachotaka kujua kwa alama hizo atakua GPA ya ngapi maana wenzake wamepata chuo.Pia ujue kama uli apply vibaya kwa kuunganisha NTA level 5 na 6 sehem moja na ukaweka sehem waliyohitaj level 6 tu, huwa wanajumlisha, wenzangu walifanya hivyo but wakashushiw GPA but walivyorekibisha katk 3round wamepata. I mean sehem ya level 6 hakikisha imekaa yenyewe
Hatuwezi jua gpa yke kwa hayo matokeo ya semester moja na pia uwa kila somo lina credit na point zke ambazo zinatoa gpa ya semster husika nazo hazipoHuyu mtu kamaliza mtihani wake wa diploma in dental thrapy NTA level 6. sasa unampa GPA ya ngapi maana kaaply na smekosa vyuo vyote.Hawa NACTE wanapangaje?
73-
60-
60-
57-
58-
60-
Sasa huyu dogo ana GPA ya ngapi kwa mujibu wa NACTE?