Realbest
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 809
- 293
Nina dogo hapa amemaliza 4m4 mwaka Jana na kupata division 4 ya point 26
Matokeo yake ni kama ifwatavyo
History C
Kiswahili C
ENGLISH C
CIVICS D
BIOS D
GEO D
MATH F
Je naweza mpeleka chuo gani ambacho angalau anaweza ikawa na uwanda Mpana angalau wa ajira?
Kiukweli nimepiga mahesabu upande wa Advance nikupoteza muda tu!
Je nursing ya mwaka moja Ile ya one year course inaweza mfaa kwa matokeo haya?
Nawasilisha
Matokeo yake ni kama ifwatavyo
History C
Kiswahili C
ENGLISH C
CIVICS D
BIOS D
GEO D
MATH F
Je naweza mpeleka chuo gani ambacho angalau anaweza ikawa na uwanda Mpana angalau wa ajira?
Kiukweli nimepiga mahesabu upande wa Advance nikupoteza muda tu!
Je nursing ya mwaka moja Ile ya one year course inaweza mfaa kwa matokeo haya?
Nawasilisha