Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,402
- 5,526
Alright, maana course za art kwa cheti na diploma ni chenga tu. Kuzuri ni science tu maana angekuwa na science angekwenda nursing au C.medicine ni kozi nzuri zenye market kuliko hzo course za art sijui maendekeo ya jamii..!! Ni afadhari akipige hzo kozi kwa degree huku bodi ikimlipia adakwa matokeo hayo, nakushauri mpeleke dogo advance akasome HKL nafikiri ataimudu, kumpeleka chuo sasa hivi ni kupoteza hela bure, kwa comb hiyo akikaza inampeleka chuo na mkopo asilimia za kutosha anapata.