Aunt Catherine
New Member
- Jan 8, 2021
- 4
- 0
Ndugu zangu naomba ushauri wa biashara ipi Haina risky sana kati ya hizo mbili (pembejeo na pharmacy) nmemalza chuo na mtaji kama wa million tatu napenda kufanya biashara ya pharmacy au duka la pembejeo lakini elimu yangu ni engineering kwa maana hiyo sipo vzur Sana na elimu ya hvo vtu viwili, samahani kwa mwenye ujuzi wa pharmacy au pembejeo naomba msaada wa kibiashara hizo ili nipate mwanga kwa faida na hasara zake.
Nipo Mbeya
Nipo Mbeya