nimeshajaza hizo form mpaka nimechoka nimesubiri email mpaka basi hakuna cha inbox wala junk. huu karibia mwezi wa nane sasa nafatilia lakini hakuna matumaini yoyote kila nikenda wananambia nilijaza form za zamani inabidi nijaze mpya.... form zako hatukuzifax tunazifax leo....tutakupigia simu....tutakutumia email
hakuna kitu. POOOOOOR kastama kea.
https://ifm.crdb.com/online/ASPScripts/Logon.asp
yani napata hasira.