kalimanzilajuma
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 323
- 314
Mwenye uelewa tafadhali msaada.
Fao la uzazi bado lipo. Lakini limesimamishwa kutolewa kwa wakati huu wa Transition ya kuunganisha mifuko.
Lini litaanza kutolewa? utanisamehe Kalimanzilajuma maana sifahamu
Sasa kwa wanaojifungua sasa inamaana haki yao ndo basi tena.
Mafao yote yalisitishwa baada ya mifuko kuunganishwa, tusubiri utaratibu mpyaMwenye uelewa tafadhali msaada.