msaada...mwanamke wa namna hii

msaada...mwanamke wa namna hii

CHIEF JJ

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
1,075
Reaction score
357
habari zenu waote...
mimi ni kijana wa kiume ila leo wikend imekuwa mbaya sana baada ya kuwa na mwanmke mmoja mrembo na kapendeza sana ila baada ya kukaaa naye room nimekuta ananuka mdomo na papuchi inatoa harufu yani chumba kilibadilika mda huo huo baada ya kuvua nguo ....
hiv nyinyi wanawake wa hapa dar kwanini mnanuka midomo na papuchi? maana huyu ni mwanamke wa saba kukutana nao wananuka....
Naombeni msaada nikikutana naye tena mwingine anayenuka papuchi na mdomo nimfanyeje? mana nimechoka kukutana nao yani mdada kapendeza mkifika tu rom unakutana na vitu vya ajabu..naombeni msaada wenu
 
Acha uzinifu ndo solution. Hafu ukute ni wewe unanuka gegedo lako na miguu hafu unawasingizia hao wadada

hapana mimi kila nikimkuta dada mzuri sana lazima nikute ananuka mdomo au papuchi yani wananikera basi tuu
 
Kama unatongoza uchochoroni na ndio type zako, unadhani hayo hutayakuta, hebu tuondolee kutudharililisha hapa.
 
Wanyonye papuchi tu wanaacha kusmell kama huna gharama za kuwaadvance.
 
Mwambie!
Sio vizuri kumdharau mwenzako.kama ana kasoro muombee dua.

mimi si wazarau ila natafuta msaada kama mtu anajuwa tiba au jinsi ya kuwafanya ili hiyo hali wasiyo nayo mimi inanikera sana
 
habari zenu waote...
mimi ni kijana wa kiume ila leo wikend imekuwa mbaya sana baada ya kuwa na mwanmke mmoja mrembo na kapendeza sana ila baada ya kukaaa naye room nimekuta ananuka mdomo na papuchi inatoa harufu yani chumba kilibadilika mda huo huo baada ya kuvua nguo ....
hiv nyinyi wanawake wa hapa dar kwanini mnanuka midomo na papuchi? maana huyu ni mwanamke wa saba kukutana nao wananuka....
Naombeni msaada nikikutana naye tena mwingine anayenuka papuchi na mdomo nimfanyeje? mana nimechoka kukutana nao yani mdada kapendeza mkifika tu rom unakutana na vitu vya ajabu..naombeni msaada wenu

mmh wewe ni tatizo zaidi ya huyo dada! Hivi hao wanawake wote wa Dar umetembea nao?
 
Unaonesha wewe mwenyewe wa lower quality utampataje vanessa wa masaki anaenukia pafyumu ya gucci utawapata hao hao watoto wa kina baba John muuza barafu sio ndio unaendaga kununua juice ya ukwaju hehehe osha pumbu vizuri utowe gundu
 
mmh wewe ni tatizo zaidi ya huyo dada! Hivi hao wanawake wote wa Dar umetembea nao?[/QUOeeeTE]

sample ya madada saba inatosha sana kujuwa kunatatizo hilo so msaada plz wa kuwasaidia safari nyingine nikikutana nao tena
 
Unaonesha wewe mwenyewe wa lower quality utampataje vanessa wa masaki anaenukia pafyumu ya gucci utawapata hao hao watoto wa kina baba John muuza barafu sio ndio unaendaga kununua juice ya ukwaju hehehe osha pumbu vizuri utowe gundu

mie naomba msaada wew unaleta mbwembwe zako humu? nani alikuambia kuwa hata ukipulizia perfume papuchi au mdomo haunuki? hiv unataka kuniambia unaweza kupulizia perfum mdomo au kwenye papuchi ndani?
 
Lakini mkuu as far as I am concerned ukutane na binti leo mkubariane umpeleke kwako? Basi inawezekana kwako kuna shida ukichanganya na manukato yao ndo balaa. Pia inawezekana unaowatafuta ma house girl ndo shida hawana muda wa kujusafisha. Badili strategy mkuu
 
mie naomba msaada wew unaleta mbwembwe zako humu? nani alikuambia kuwa hata ukipulizia perfume papuchi au mdomo haunuki? hiv unataka kuniambia unaweza kupulizia perfum mdomo au kwenye papuchi ndani?

Jamaa wazamani kuna mouth wash n mouth spray na kuna vaginal spray ndio nikakwambia ww ni wa low quality ndio ukakutana na hizo papuchi zinanuka kama dagaa wa mwanza coz na ww upo kwenye same category ya wanuka pumbu kaka papuchi inanukia alovera na dove kwa mbali utazani juice ya matunda tafuta pesa kaka uachane na watoto wa baba John
 
Back
Top Bottom