mama na baba Member Joined Jan 5, 2015 Posts 33 Reaction score 1 Feb 13, 2015 #1 Wadau mimi ni mmoja wa wanaopenda kujiunga na JKT mwaka huu, vipi huko kwenu nafasi zimeshatangazwa maana huu ndo mwezi wa pili msaada please
Wadau mimi ni mmoja wa wanaopenda kujiunga na JKT mwaka huu, vipi huko kwenu nafasi zimeshatangazwa maana huu ndo mwezi wa pili msaada please
Z zalpharick New Member Joined Feb 6, 2015 Posts 1 Reaction score 0 Feb 13, 2015 #2 bado kaka wanadai hadi waliyoko xaxiv vikosin hawajapata ajira kwaiyo mzigo had mwez wa tano kakaa
mama na baba Member Joined Jan 5, 2015 Posts 33 Reaction score 1 Feb 13, 2015 Thread starter #3 lakini lile tangazo lao linasema usaili unafanyika mwezi wa tatu na wa nne vipi kuna ukweli hapo
V vibanzi sharubati Member Joined Jan 30, 2015 Posts 18 Reaction score 1 Feb 13, 2015 #4 tuwe na subira,inasemekana mwezi huu wa 2,tar 28 wataanza kupeleka fom mikoani na wilayani ,fom ambazo tutatakiwa kuzijaza,,,
tuwe na subira,inasemekana mwezi huu wa 2,tar 28 wataanza kupeleka fom mikoani na wilayani ,fom ambazo tutatakiwa kuzijaza,,,