Loafer tanzania
Senior Member
- Apr 28, 2017
- 162
- 184
- Thread starter
- #21
Ananyonya mpaka sometimes anarudisha chenchi..Ananyonya lakini hashibi...muongeze na maziwa ya kopo
Ananyonya mpaka sometimes anarudisha chenchi..Ananyonya lakini hashibi...muongeze na maziwa ya kopo
Kamisa gani mkuu na mm nmepeleke.. Coz almost hatujawah pumzika.. Ninkilio tu.. Ata mama hajapata wasaa wa kupumzika toka ajifungue.hiyo ishatokea kwa mtoto wangu, tulikesha na mke wangu. Kila mtu alisema lake, mara jina, mara hashibi n.k. tulimpeleka kanisani akaombewa ndo akapona
wa kwangu ni wakiume.. Wako ni jinsia gani mkuu?Dah mi mwenyewe mpaka hua natamani ni mfinye sema bado kachanga tu
Hashibi mwongeze maziwa ya kopoJamani mtoto anamiezi miwili lakini analia sana.. Si mchana si usiku.. Tumejaribu remedy mbalimbali ikiwemo kumtoa gesi tumboni ll kwa kumlazia tumbo lakini bado hali tete.. Sababu inaweza kuwa nn?
Kwa hiyo mnamuitaga tu Toto?Mmh.. Ngoja tujaribu kumbadilisha jina. Bt mbona hajabatizwa
Kwa hiyo mnamuitaga tu Toto?
Ok nmekuelewa mkuu..Kwa hiyo mnamuitaga tu Toto?
Mkuu sijakuelewa.. Michango gani hyo unaiongelea.. Naomba uweke wazi as tunahitaji msaada.HAKUNA KITU KINAWATESA WATOTO KAMA KUWAKOSESHA BARAKA ZA BIBI ZAO KUNA MICHANGO MINGI KIJANA KAIPOTEZEA ILA HUKO NDIKO KULIKO NA TIBA
Jamani mtoto anamiezi miwili lakini analia sana.. Si mchana si usiku.. Tumejaribu remedy mbalimbali ikiwemo kumtoa gesi tumboni kwa kumlazia tumbo lakini bado hali tete.. Sababu inaweza kuwa nn?
Hashibi mwongeze maziwa ya kopo
Tutafanyia kazi mkuu ushauri wakoHashibi mwongeze maziwa ya kopo
Yupo kwa bb yake upande wangu(mwanaume) .. Labda aje na bb wa upande wa mama?Samahani Bibi Yake au Shangazi yake anaweza patikana haraka Mkuu.. Kama yupo nakuomba muite aje utakuja kunipa ushuhuda.
Mkuu sijakuelewa.. Michango gani hyo unaiongelea.. Naomba uweke wazi as tunahitaji msaada.
Mkuu kuhusu bb mama anasaidiwa na bb upande wangu(mwanaume).. Nmeuliza labda kuna haja ya kumleta na bb upande wa mama.. Na kuhusu mchungaji nmemuomba jamaa atuambie kanisa alilompeleka mwanaye akaombewa ili na mm nmepeleke mwanangu aombewe.. As tupo disperateUmeambiwa Huyo Ni Mwanao watu walidhani kuwa wewe ni Ke kuwa ampeleke kwa Baba Yake, sawa hilo Umejibu, Waliouliza wanasababu.. Pia Umeambiwa Je Bibi Yake amemtia baraka zake? Umeambiwa kuhusu Kunyonya na kuambiwa ana Shiba? Ukahisi kuwa anashiba, tatu umeambiwa umpeleke au umuite hata Mchungaji au Muumini yeyote unayeamini kuwa Unamuamini amuombeee umejibu kuwa mko busy.. Mkuuu Mtoto halii bila sababu na zingine hatuwezi kuziona zingine ni za Imani ya Makuzi yetu.. Taboos
Pole. ndio watoto walivyo. Hiyo ndio njia yao ya kujielezea iwapo hajuona kuwa hawako vizuri. Mara nyingi hulia kwa sababu ya njaa,Ugonjwa,joto, njaa au aina fulani ya maumivu.Jamani mtoto anamiezi miwili lakini analia sana.. Si mchana si usiku.. Tumejaribu remedy mbalimbali ikiwemo kumtoa gesi tumboni kwa kumlazia tumbo lakini bado hali tete.. Sababu inaweza kuwa nn?
Nmrudishe mke kwa wazaz wake?Mrudishe kwa mama yake.
Nashukuru mkuuPole. ndio watoto walivyo. Hiyo ndio njia yao ya kujielezea iwapo hajuona kuwa hawako vizuri. Mara nyingi hulia kwa sababu ya njaa,Ugonjwa,joto, njaa au aina fulani ya maumivu.
Utapewa ushauri kibao, mar hivi mara vile.
Ila mwishowe kabisa nakushauri mpeleke kwa Daktari.
Kuna wakati nilisoma ushauri kibao humu, kwenda kwa daktari hakuna hata moja ya humu yaliyosaidia. Daktari akampa amoxylin syrup, akapopata nafuu.
So, mpeleke kwa Dr kwa ushauri bora zaid.