Muda sahihi wa kupata mlo wa usiku

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Jan 29, 2021
573
2,553
Ulaji unaojali afya siyo tu huangazia aina ya virutubisho vinavyotumika, bali huzingatia pia mda sahihi wa ulaji wa vyakula.

Kwa kuwa usiku huwa ni muda wa kupumzika kwa watu wengi, mlo wa muda huu hupaswa kuendana na mfumo unaoongoza usingizi wa binadamu pamoja na kuruhusu mwili uweze kumeng’enya chakula husika kabla ya kwenda kupumzika.

Kwa kawaida, saa 2 hadi 3 kabla ya kwenda kitandani kulala hufaa sana kupata mlo wa usiku.
  • Husaidia kutunza uzito sahihi wa mwili
  • Huufanya mwili utumie vizuri nishati zake kabla ya kulala
  • Hupunguza kutokea kwa changamoto mbalimbali zinazohusisha mfumo wa chakula, mfano kiungulia
  • Husaidia kuboresha usingizi
Chanzo: Healthline
 
Njia sahihi ya kupunguza uzito ni kuacha kula zingine ni story mfano mazoezi mtu kufanya mazoezi ni kuchoma calories e.g mtu amekimbia km3 kachoma 100 calories but akirudi na njaa anakula wali nyama,maziwa kidogo anaingiza Tena zaidi ya calories 100
 
Ulaji unaojali afya siyo tu huangazia aina ya virutubisho vinavyotumika, bali huzingatia pia mda sahihi wa ulaji wa vyakula.

Kwa kuwa usiku huwa ni muda wa kupumzika kwa watu wengi, mlo wa muda huu hupaswa kuendana na mfumo unaoongoza usingizi wa binadamu pamoja na kuruhusu mwili uweze kumeng’enya chakula husika kabla ya kwenda kupumzika.

Kwa kawaida, saa 2 hadi 3 kabla ya kwenda kitandani kulala hufaa sana kupata mlo wa usiku.
  • Husaidia kutunza uzito sahihi wa mwili
  • Huufanya mwili utumie vizuri nishati zake kabla ya kulala
  • Hupunguza kutokea kwa changamoto mbalimbali zinazohusisha mfumo wa chakula, mfano kiungulia
  • Husaidia kuboresha usingizi
Chanzo: Healthline
Yes binafsi mlo wa mwisho uwa nakula saa kumi had kumi na moja jion, baada ya hapo ni maji au salad
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom