teetotaller
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 307
- 203
wasalaam,
Naombeni ufumbuzi wa tatizo la mtoto kutoa mate kila mara...Hapo awali niliambiwa kuwa akikua yatakata ila mpaka sasa nina wasi wasi maana mda unaenda sioni mabadiliko.
NB: Mtoto ana mwaka mmoja na miezi mitano
Naombeni ufumbuzi wa tatizo la mtoto kutoa mate kila mara...Hapo awali niliambiwa kuwa akikua yatakata ila mpaka sasa nina wasi wasi maana mda unaenda sioni mabadiliko.
NB: Mtoto ana mwaka mmoja na miezi mitano