Baba mtata
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 280
- 40
Habari wakuu
Naomba kujua hivi hawa maprofesa wanaofundsha vyuo vya hapa bongo mfano pale udsm,mzumbe,sua,udom wanalipwa shilingi ngapi nataka nihusianishe na mchakato wa upatikanaji wake mana mtu mpaka ukawa profesa siyo mchezo
Nawasilisha
Naomba kujua hivi hawa maprofesa wanaofundsha vyuo vya hapa bongo mfano pale udsm,mzumbe,sua,udom wanalipwa shilingi ngapi nataka nihusianishe na mchakato wa upatikanaji wake mana mtu mpaka ukawa profesa siyo mchezo
Nawasilisha