mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 19 nipo dar. nilikuja kufanya kazi huku tokea mwezi wa 6 mpaka sasa!! lakini jana bossi wangu kanifukuza kwa kudai kuwa biashara haiendi na pia hana pesa ya kunilipa. Mshahara wngu wa kwanza alinilipa lkn kwasasa kakataa kunilipa kwa kudai kuwa biashara haiendi vizur pia niondoke maana hana kazi ya kunipa na pia mshahara wngu wa pili hajanipa na kusema niondoke bila kupewa nauli!! tafadhari kama unaweza kunipa kazi yoyote halali nipe maana maisha yangu yatakuwa magum sana kwasasa km una kazi tafadhari nitafute kupitia 0713465548 asanteni sana.