Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,136
- 27,083
Wadau moderm yangu inasumbua kuconect.. ni hizi za universal sasa toka ninunue iliwahi kubali line ya voda mara moja baada ya hapo imenigomea kabisa!
Kama kuna mtu anajua setting zake au trick yeyote kutumia anisaidie!
Nb: nauliza pia njia ya kuchakachua moderm ya voda!
Kama kuna mtu anajua setting zake au trick yeyote kutumia anisaidie!
Nb: nauliza pia njia ya kuchakachua moderm ya voda!