Msaada: Mnaopenda kula mboga za majani, mlifanyaje, mbona mimi nateseka?

Msaada: Mnaopenda kula mboga za majani, mlifanyaje, mbona mimi nateseka?

Binti wa zamani

Platinum Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
11,763
Reaction score
27,154
Zingatia: Hii ni nyuzi serious, haihitaji utani wala dhihaka. Kama huna ushauri, endelea kuperuzi kwenye majukwaa mengine.

Mwezi uliopita niliandika uzi wa kuomba ushauri na msaada wa kupunguza uzito.

Nimefuata ushauri na kumpata mtaalamu wa lishe, amenitengenezea mpango wa chakula na inabidi nipunguze kabisa vyakula vya wanga, nile protein na mbogamboga kwa wingi.

Changamoto: Hivi vyakula vya majani majani vinanikosesha raha maana nilizoea chapati, wali, ugali, viazi na vyakula vya ngano. Mnaopenda mboga za majani au ambaye alipitia hii process ya kujilazimisha kuzila, ulifanyaje?

Hiyo hapo chini ni dinner yangu ya leo (nakula hivyo vidude vinne) ila najionea tabu tu. Nisaidieni mawazo na mapishi / recipe nzuri kwa ambao mnafahamu.

Diet dinner.jpg


Cc:
Mwachiluwi kwa recipe ideas

na

makutupora
realMamy
Nomadix
Mallerina
bonjov
For emotional support 😌 mje mnifariji napitia magumu 😂😂
 
Zingatia: Hii ni nyuzi serious, haihitaji utani wala dhihaka. Kama huna ushauri, endelea kuperuzi kwenye majukwaa mengine.

Mwezi uliopita niliandika uzi wa kuomba ushauri na msaada wa kupunguza uzito.

Nimefuata ushauri na kumpata mtaalamu wa lishe, amenitengenezea mpango wa chakula na inabidi nisile vyakula vya wanga, nile protein na mbogamboga kwa wingi.

Changamoto: Hivi vyakula vya majani majani vinanikosesha raha maana nilizoea chapati, wali, ugali, viazi wala vyakula vya ngano. Mnaopenda mboga za majani au ambaye alipitia hii process ya kujilazimisha kuzila, ulifanyaje?

Hiyo hapo chini ni dinner yangu ya leo (nakula hivyo vidude vinne) ila najionea tabu tu. Nisaidieni mawazo na mapishi / recipe nzuri kwa ambao mnafahamu.

View attachment 3274305

Cc:
Mwachiluwi kwa recipe ideas

na

makutupora
realMamy
Nomadix
Mallerina
bonjov
For emotional support 😌 mje mnifariji napitia magumu 😂😂
Njia thabiti ya kupunguza uzito ni kuacha upumbavu ...vyakula mna visingizia tu .
 
Zingatia: Hii ni nyuzi serious, haihitaji utani wala dhihaka. Kama huna ushauri, endelea kuperuzi kwenye majukwaa mengine.

Mwezi uliopita niliandika uzi wa kuomba ushauri na msaada wa kupunguza uzito.

Nimefuata ushauri na kumpata mtaalamu wa lishe, amenitengenezea mpango wa chakula na inabidi nisile vyakula vya wanga, nile protein na mbogamboga kwa wingi.

Changamoto: Hivi vyakula vya majani majani vinanikosesha raha maana nilizoea chapati, wali, ugali, viazi wala vyakula vya ngano. Mnaopenda mboga za majani au ambaye alipitia hii process ya kujilazimisha kuzila, ulifanyaje?

Hiyo hapo chini ni dinner yangu ya leo (nakula hivyo vidude vinne) ila najionea tabu tu. Nisaidieni mawazo na mapishi / recipe nzuri kwa ambao mnafahamu.

View attachment 3274305

Cc:
Mwachiluwi kwa recipe ideas

na

makutupora
realMamy
Nomadix
Mallerina
bonjov
For emotional support 😌 mje mnifariji napitia magumu 😂😂
HIi nyama ya mdudu hii
 
Zingatia: Hii ni nyuzi serious, haihitaji utani wala dhihaka. Kama huna ushauri, endelea kuperuzi kwenye majukwaa mengine.

Mwezi uliopita niliandika uzi wa kuomba ushauri na msaada wa kupunguza uzito.

Nimefuata ushauri na kumpata mtaalamu wa lishe, amenitengenezea mpango wa chakula na inabidi nisile vyakula vya wanga, nile protein na mbogamboga kwa wingi.

Changamoto: Hivi vyakula vya majani majani vinanikosesha raha maana nilizoea chapati, wali, ugali, viazi wala vyakula vya ngano. Mnaopenda mboga za majani au ambaye alipitia hii process ya kujilazimisha kuzila, ulifanyaje?

Hiyo hapo chini ni dinner yangu ya leo (nakula hivyo vidude vinne) ila najionea tabu tu. Nisaidieni mawazo na mapishi / recipe nzuri kwa ambao mnafahamu.

View attachment 3274305

Cc:
Mwachiluwi kwa recipe ideas

na

makutupora
realMamy
Nomadix
Mallerina
bonjov
For emotional support 😌 mje mnifariji napitia magumu 😂😂
Umu ukipata stress ni unakua umejitakia mwenyew mbn inawezekana tu chief 😂
 
Back
Top Bottom