JMipicha
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 704
- 1,070
Habari wana JF naimani mko powa na majukumu na harakati za kusaka tonge zinasonga ...
Niende moja kwa moja kwenye story. Huyu bi dada tulikutana maeneo katika harakati za maisha tukatokea kubadilisha number. Tukawa tunachat na tukafahamiana sana.
Ila huyu bi dada katokea kunielewa na kunipenda kinoma. Ndipo nikaja kugundua kwamba wanawake wa siku hizi nao wanatongoza. Ila katika kuchunguza nikaja kugundua ni mke wa mtu na ana watoto wawili.
Na mume wake ni mtu wa kusafiri sana. Kwa hiyo mara nyingi huwa anabaki yeye peke yake. Ndio nikaja kugundua kwamba chanzo cha kuhangaika kwakwe ni ugwadu
Mwisho wa siku akaja kuomba mechi tukapanga mwaka mpya haikuwezakana kwa sababu nilitoka mkoa sababu tulimeet ile night tu tukaaa na kunywa sikutaka kumfanya chochote
Niko njia panda nimle au nikaushe. Maana hizi nyuzi za humu mara mke wa mtu sumu kuna kupakwa mafuta zinanitoa mood kabisa.
Na hizi Habari za mke wa mtu kuwekwa tego je ni kweli?
SHAURI CHOCHOTE NARUDISHA MPIRA KWAKO MWALIMU KASHASHA.
UPDATE
NIMESHAMNYANDUA TAYARI HIZO HABARI ZA KUPAKWA MAFUTA MTAJUA WENYEW .Asanten Kwa ushauri wenu
Niende moja kwa moja kwenye story. Huyu bi dada tulikutana maeneo katika harakati za maisha tukatokea kubadilisha number. Tukawa tunachat na tukafahamiana sana.
Ila huyu bi dada katokea kunielewa na kunipenda kinoma. Ndipo nikaja kugundua kwamba wanawake wa siku hizi nao wanatongoza. Ila katika kuchunguza nikaja kugundua ni mke wa mtu na ana watoto wawili.
Na mume wake ni mtu wa kusafiri sana. Kwa hiyo mara nyingi huwa anabaki yeye peke yake. Ndio nikaja kugundua kwamba chanzo cha kuhangaika kwakwe ni ugwadu
Mwisho wa siku akaja kuomba mechi tukapanga mwaka mpya haikuwezakana kwa sababu nilitoka mkoa sababu tulimeet ile night tu tukaaa na kunywa sikutaka kumfanya chochote
Niko njia panda nimle au nikaushe. Maana hizi nyuzi za humu mara mke wa mtu sumu kuna kupakwa mafuta zinanitoa mood kabisa.
Na hizi Habari za mke wa mtu kuwekwa tego je ni kweli?
SHAURI CHOCHOTE NARUDISHA MPIRA KWAKO MWALIMU KASHASHA.
UPDATE
NIMESHAMNYANDUA TAYARI HIZO HABARI ZA KUPAKWA MAFUTA MTAJUA WENYEW .Asanten Kwa ushauri wenu