Msaada: Mke mwema

Msaada: Mke mwema

Umejuaje kama hawajui kumtii mume?ulishawahi kuoa wa ivo na ukamuacha?unaamini vipi kama form four na diploma uwa wanatii mume?

mifano ninayo na ushaidi ninao kwa sample ya watu 30 ,wakiwemu ndugu zangu na marafiki wangu na wenye dregree wanaojielewa kuwa wameolewa na wanajuwa position ya mume katika familia ni asilimi kumi tu ,,,,wengi wao ni wasumbufu,wamezalishwa na kuachwa au ni michepuko ya waume za watu ..ukitaka kujua fanya mfano huu tongoza mwalimu wa dip au certificate na tongoza mwanamke yoyote mwenye degree harafu utagunguwa tu..
 
kanisani naogopa kukutana na matax bubu

Nenda shule yoyote katongoze mwalimu ( naona unataka waalimu) , nenda hospital in I kuna manesi pia.....hao unaosema serious sijui utawapata wapi
 
mifano ninayo na ushaidi ninao kwa sample ya watu 30 ,wakiwemu ndugu zangu na marafiki wangu na wenye dregree wanaojielewa kuwa wameolewa na wanajuwa position ya mume katika familia ni asilimi kumi tu ,,,,wengi wao ni wasumbufu,wamezalishwa na kuachwa au ni michepuko ya waume za watu ..ukitaka kujua fanya mfano huu tongoza mwalimu wa dip au certificate na tongoza mwanamke yoyote mwenye degree harafu utagunguwa tu..

Usiishi kwa kuangalia watu wanaishije maisha yanatofautiana ata wanawake pia wanatofautiana,
 
Ha haa mkuu sio wote, acha kugeneralize bhanaa wapo wengi sana tuu wazuri wenye hekima

hata kama wapo wengi wao wanajifanyisha tuu au wanaekt kuwa ni wake wema ila mkikosana siku.moja utaona zarau na matusi anayokupolomoshea utazani siyo mume wake
 
Usiishi kwa kuangalia watu wanaishije maisha yanatofautiana ata wanawake pia wanatofautiana,

okay ila mimi siwataki wa degree mkuu kama mnawaweza waoweni tuu
 
Nenda shule yoyote katongoze mwalimu ( naona unataka waalimu) , nenda hospital in I kuna manesi pia.....hao unaosema serious sijui utawapata wapi

tawapata hapa hapa najuwa mungu atanisaidia tuu
 
mke mwema jf.msomi na wewe ushazoe mademu wako wa viwanja lzm ndoa iyumbe kaka hapo.maana atataka tendo la ndoa kisomi na wewe ratiba kama weekend. mpaka weekend ....hapo ndio balaa michepuko unaanza kuitafutia nyumba ukitoka kazini kwa mchepuko kwanza.na yeye anavyojua mapenzi
 
mke mwema jf.msomi na wewe ushazoe mademu wako wa viwanja lzm ndoa iyumbe kaka hapo.maana atataka tendo la ndoa kisomi na wewe ratiba kama weekend. mpaka weekend ....hapo ndio balaa michepuko unaanza kuitafutia nyumba ukitoka kazini kwa mchepuko kwanza.na yeye anavyojua mapenzi

mmmmmhh hayo mawazo yako tuu mkuu ukiowa unatulia tu na mke,,michepuko haina mana kwa dunia ya sasa
 
mchepuko kazi yake. kumaliza pesa..inasikitisha wanaume tunaacha wake zetu..tunafuata changu doa.nakuja sasa.
 
Mi nataka wa degree au masterz umri 20-25
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom