Pole na mkasa uliokupata, Waandikie taarifa ya madai(demand notice) wape siku 21 au 30 wakulipe hizo pesa unazodai, then muda huo uliowapa ukiisha na hakuna kilichofanyika basi kafungue shauri mahakamani ukiomba kulipwa kiasi cha pesa halisi ulichokuwa ukidai pamoja na fidia zingine.
Hayo ya mtu kusaini mkataba kama hakuwa mfanyakazi au alikuwa mfanyakazi wakayaseme huko(kortini) inawezekana ni self defence tu wanatumia.
Haki itapatikana mahakamani, ikiwezekana tafuta mwanasheria akusaidie kudraft hizo document kwa lugha nzuri ya kisheria.