Sio Kweli Mkuu Kila Kitu Kinaendeshwa Kwa Kufata UtaratibuNyie ndio mnaonyanyasaga watu kwenye nyumba zenu
Sasa mkuu watu wameshaingia ndani bila mkataba?Sio Kweli Mkuu Kila Kitu Kinaendeshwa Kwa Kufata Utaratibu
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Kumchukia Mwenye Mali Hakukufanyi Wewe Kuwa TajiriNyie ndio wenye Nyumba wenye roho mbaya kama mashetani .... Acha Nyumba zenu ziharibiwe tu hakuna namna
Uhuru Usiokuwa Na MipakaHakuna kitu nisichopenda kama kufungulia muziki kwa sauti ya juu tena usiku aiseee..
jaribu kwenda hata kwenye stationary wakuchapie kwenye computer...unawapa maelezo/ vitu gani unataka viwepo then wanakuchapia halafu unatoa nakala utakazoHabarini za mihangaiko? Kazi ni kazi na popote kambi
Natanguliza dua za kumuombea m Tanzania mwenzetu Tundu Antpass Lissu Mungu amfanyie wepesi
Nahitaji msaada wa mikataba ya kwenye nyumba za kupanga naona hawa watu wanataka kunipanda kichwani kutokana na usumbufu wa
- Kuchelewa kulipa kodi.
- Kila mtu kujiamulia anavyotaka mara atoe pesa ya umeme mara asitoe.
- Uharibifu wa thamani za nyumba mfano.rangi za ukuta, socket za umeme na wavu za madirisha.
- Kufungulia mziki kwa sauti ya juu nyakati za usiku na kuleta kero kwa wapangaji wengine
Kama utanisaidia kunitumia hata mfno wa page kadhaa in whatsapp nitashukuru
NB: Nyumba za kupanga ni biashara kama biashara nyingine
karibu ni wakuu kwa michango yenu .
Kwa hiyo unataka ukipanga uanze kubandika mapicha ukutani, kupigilia misumari, na kuchafua chafua ukuta kwa moshi wa jiko lako la mchina ndo uone haunyanyaswi?Nyie ndio mnaonyanyasaga watu kwenye nyumba zenu
Si hivyoKwa hiyo unataka ukipanga uanze kubandika mapicha ukutani, kupigilia misumari, na kuchafua chafua ukuta kwa moshi wa jiko lako la mchina ndo uone haunyanyaswi?
Hahaha Mkuu Umenichekesha Bora Ufuge Ng'ombe Utakunywa MaziwaHakuna watu kero huku duniani kama wapangaji, tu utakuta analipa sh 40elf lakini kelele zake, hajielewi kama anasaidiwa hapo alipopanga, chini ya elfu 1500 kwa siku bado utasikia naishi kwa hela zangu!!!!, wenye nyumba wana roho njema sana na niwavumilivu, yaani ng'ombe ana faida kuiko mpangaji, chumba kimoja ukiweka ng'ombe wawili aziwa lita hata 8 kwasiku sh16000 toa hata elf 10 matunzo kwa siku bado una faida
Wapangaji Tunawavumila SNA Kwa Mengi Mtu Anajikuta Kulipa 30 Kwa Mwezi Kamaliza Kila KituKwa hiyo unataka ukipanga uanze kubandika mapicha ukutani, kupigilia misumari, na kuchafua chafua ukuta kwa moshi wa jiko lako la mchina ndo uone haunyanyaswi?
Vipi mbona povu??? kasema hawalipi kodi, kawaje na roho mbaya tena?Nyie ndio wenye Nyumba wenye roho mbaya kama mashetani .... Acha Nyumba zenu ziharibiwe tu hakuna namna
Thanks Mkuu Joserevest Kwa Ushauri But Ule Muundo Wa Mkataba Ndio Sinajaribu kwenda hata kwenye stationary wakuchapie kwenye computer...unawapa maelezo/ vitu gani unataka viwepo then wanakuchapia halafu unatoa nakala utakazo
Ukiwauliza wanaweza kuwa nao kwa maana huwa wanachapisha documents za aina mbalimbali au tafuta nyumba za jirani hapo mtaani kwako ongea na mpangaji mmojawapo akupe mkataba then ukapige copy halafu uwape wale wanaochapisha wafatishe mfumo huoThanks Mkuu Joserevest Kwa Ushauri But Ule Muundo Wa Mkataba Ndio Sina
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Ukipata hiyo sample naomba nipatie na mimi mkuu!!Thanks Mkuu Joserevest Kwa Ushauri But Ule Muundo Wa Mkataba Ndio Sina
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app