Mkuu nisaidie bei ya lumia 540 iko ngapi kwa sasa Tz.ahsanteh
bei yake ni sh ngapi hapa bongo?
na perfomance yake ikoje?
sababu namimi nataka kuhamia ulimwengu wa windows phone
Hiyo 640XL 5.7" inapatikana wapi mbona nishaitafta sana siipati, nielekeze duka mkuu. Naitaka sana hiyo.
Mkuu nisaidie bei ya lumia 540 iko ngapi kwa sasa Tz.ahsanteh
Nina lumia 535.
Nilinunua mlimani city haijapita hata wiki. Ina warant ya mwaka mmoja. Ukiihitaji lisiti na warrant card nakupatia.
RAM 1GB
Internal memory 8GB
Camera 5MP ina na flash
Secondary camera 5MP
Imewekewa glass screen protector + original back cover.
Screen 5"
Betri ina uwezo wa kukaa siku mbili tofauti na android.
Ni nzuri sana lakini niliyemnunulia kahitaji android.
Bei ni 250,000 without discount. Ukihitaji nitafute 0719139623 au ni pm.
Mzigo upo mkuu kama ulivyotoka dukani. Box, lisiti na warrant card... Karibumkuu bado mzigo upo?? Nitaomba tufanye biashara ya hiyo Lumia
Mzigo upo mkuu kama ulivyotoka dukani. Box, lisiti na warrant card... Karibu
unapatikana wapi kiongozi tupange tufanye biashara??
Wakuu hizi lumia za sasa zina support ussd( Tigo pesa,airtel money n.k) au ni ishu bado!
Itakuwa around 300,000 au kuzidi hapo kidogo
Mkuu nimeshaivuta ila sasa kuna jamaa kanambia ni copy nmechukua 360k lumia 540 kisa imeandikwa imetoka china sasa naomba kufahamu je ni kweli mkuu na kama si kweli ni kitu gani au apps ipi kama kule android navyo test na cpu-z huku ntawezaje kutest ili niangalie na kutambua kama lumia ni copy au orijinal.ahsanteh
Fika voda shop mlimani city Ni 540,000 maduka mengine huanzia laki sita .ni dual sim card unaweka line yoyote hawajazipin(huitaji kwenda kuflash)Wadau mm natafuta 640xl lte dual sm.kwa mwenye info. Za kutosha naomba anielekeze inapopatikana
Itakuwa around 300,000 au kuzidi hapo kidogo
Kwa wale wanaotumia windows phone kuna app mpya ya Mtalk ni nzuri kuliko Tapatalk. Imekaa vizuri ukitumia kwa jamii forum,.
Sent from mTalk