Msaada: Miaka 10 kwenye ndoa hajawahi kufika kileleni na kupelekea kuchukia tendo

Nadhani jibu jepesi ni kwamba hata huna hisia you na mume wako.
Nafahamu kama miaka kumi hukuwahi kufika kileleni huenda tatizo lako litakuwa kubwa sana kama hukulitafutia ufumbuzi
Jambo la kufanya kabla hujachukua mawazo mbadala fanya mazungumzo na mume wako,mweleze tatizo lako ili kama yeye atakuwa sababu anaweza kusaidia kuondoa tatizo
 
Mkuu, watoto wa kiume ni wakutunza sana skuizi.
Huyu atakua amehamia kwa akina Cameroon
Kwakweli Mungu awalinde watoto na vijana wote wa kiume, hii sio kabisa.
Half nowdays wanajiachia wazi wazi wenyewe, sjui wanaona sifa
 
Hatua ya kwanza kabisa mpende kwa dhati unaetoka nae. Ya pili andaeni muda wa kutosha na sehemu tulivu,mumeo akuchezee sana mpaka ute. Jitahidi akili yako ifurahie na iwe hapo.

Angalizo miaka 10 ni mingi sana yaani hata mara moja. Basi bora kwako njia ya pili,ya kupata unae-mfeel toka moyoni mtunuku tunda uangalie kama utafika na ujijue kama uko sawa

Tatu hosp zipo tiba nzuri tu,wana-deal na kizazi kidogo tu. Ila tatizo la hizo hiyo tiba utakuwa na nyege hatari ukiguswa tu na jamaa unataka. Hiyo akikaa juu yako dakika 15 tu wewe utakuwa umeenda hewani hata mara 3,haipungui 2
 
Pa kwanza umebugi tayari. Mapenzi hayahusiani.

Ya tatu shida pia, sio kwamba hana nyege ni kqamba mwisho ya safari yake haujui.

Anakodoa macho weeee ila hajui amefika au hajafika.

πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈukute anafikaga deile lkn hajui kufika ni kufanyeje
 
Kama hujawahi chepuka, umejuaje kama hujawahi fika kileleni..?
 
...! Unaweza kukuta amefika ila hajui?. Mpe mbinu atajuaje?
 
Labda kweli, ukute anafika ila kama alivyosema ameona zile za kurusha maji,anafikiri kufika kileleni mpaka ukojoe maji maji.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…