Phamarcist
Senior Member
- Apr 18, 2021
- 193
- 419
Njoo pm dada mayunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeehe ndo utajuaa hujuiiMmmh wewe si ni mwanaume. Jesus Christ
Mkuu, watoto wa kiume ni wakutunza sana skuizi.Kwani mtoa mada wewe ni ladies and gentlemen?
Mkuu umeamua uweke avatar yako kabsa kumaliza ubishi baada ya kuambiwa wewe ni Manengelo uliyechangamkaNi dalili moja wapo ya kuwa na Jini mahaba.
Eeehe ndo utajuaa hujuii
Kwakweli Mungu awalinde watoto na vijana wote wa kiume, hii sio kabisa.Mkuu, watoto wa kiume ni wakutunza sana skuizi.
Huyu atakua amehamia kwa akina Cameroon
Inasikitisha sana kijana bila simile anakosa ute, na huu ni mwaka wa kumi sasa amejioambanua...😎☹️Kwakweli Mungu awalinde watoto na vijana wote wa kiume, hii sio kabisa.
Half nowdays wanajiachia wazi wazi wenyewe, sjui wanaona sifa
vyingine si vya spitali jamani.Ni mgonjwa wewe.
Nenda hospital huenda utapona
Pa kwanza umebugi tayari. Mapenzi hayahusiani.Hatua ya kwanza kabisa mpende kwa dhati unaetoka nae. Ya pili andaeni muda wa kutosha na sehemu tulivu,mumeo akuchezee sana mpaka ute. Jitahidi akili yako ifurahie na iwe hapo.
Angalizo miaka 10 ni mingi sana yaani hata mara moja. Basi bora kwako njia ya pili,ya kupata unae-mfeel toka moyoni mtunuku tunda uangalie kama utafika na ujijue kama uko sawa
Tatu hosp zipo tiba nzuri tu,wana-deal na kizazi kidogo tu. Ila tatizo la hizo hiyo tiba utakuwa na nyege hatari ukiguswa tu na jamaa unataka. Hiyo akikaa juu yako dakika 15 tu wewe utakuwa umeenda hewani hata mara 3,haipungui 2
Kama hujawahi chepuka, umejuaje kama hujawahi fika kileleni..?Wapendwa wangu naomba ushauri wenu ktk suala la kufika kileleni (kukojoa), nimekuwa nikihangaika sana tena sana kuhusu hili jambo nina miaka 10 kwenye ndoa yangu sijawahi kufika kileleni hata mara moja. Nasikia stori kwa wenzangu na kuona picha kama hizo za wachina na nyingine kiufupi sifurahi tendo la ndoa nafanya tu kumridhisha mume ila roho inaniuma sana.
Simjui mwaume mwingine zaidi ya mume wangu, ute wenyewe shida yaani hata nichezewe vipi halafu nimekuwa nikilichukia tendo hilo yan siku akisema nasafiri yaani nafurahi kweli
Nimeona nishee na nyie huenda ikawa sababu ya mimi kufurahia ndoa yang
Nahitaji sana msaada wenu ktk hili.
Such a shame!Inasikitisha sana kijana bila simile anakosa ute, na huu ni mwaka wa kumi sasa amejioambanua...😎☹️
...! Unaweza kukuta amefika ila hajui?. Mpe mbinu atajuaje?Pa kwanza umebugi tayari. Mapenzi hayahusiani.
Ya tatu shida pia, sio kwamba hana nyege ni kqamba mwisho ya safari yake haujui.
Anakodoa macho weeee ila hajui amefika au hajafika.
ukute anafikaga deile lkn hajui kufika ni kufanyeje
Labda kweli, ukute anafika ila kama alivyosema ameona zile za kurusha maji,anafikiri kufika kileleni mpaka ukojoe maji maji.Pa kwanza umebugi tayari. Mapenzi hayahusiani.
Ya tatu shida pia, sio kwamba hana nyege ni kqamba mwisho ya safari yake haujui.
Anakodoa macho weeee ila hajui amefika au hajafika.
ukute anafikaga deile lkn hajui kufika ni kufanyeje
Aache kusikilizia sana kama vile mkunaji atataja kituo chake ajue amefika....! Unaweza kukuta amefika ila hajui?. Mpe mbinu atajuaje?