Fundifundisho
Member
- Jan 11, 2011
- 77
- 18
Wakuu naomba kujua niipateje software itakayoweza kurudisha vitu vilivyofutwa kwenye memory card?
Niliwahi ku download "sd recovery" ikawa ni ya kulipia nikashindwa.
Naomba kama kuna anayefahamu juu ya hii kitu anijuze,
natanguliza shukrani...
Niliwahi ku download "sd recovery" ikawa ni ya kulipia nikashindwa.
Naomba kama kuna anayefahamu juu ya hii kitu anijuze,
natanguliza shukrani...