Neema j swai
Senior Member
- Mar 27, 2017
- 177
- 103
Habar zenu wapenz? Dada yang ana tatzo anasema toka wk iliyopta anaskia maumivu makali kwenye mishipa ya mikono cjui misuli had kweny viganja inavuta na wakat wa ucku anaskia anaishiwa nguvu mikonon had mikono inakakamaa anashndwa kushka ktu au kuugeuza wakat mwingne anasema pia miguun anaishiwa nguvu na anapata maumivu makal ya misuli, tunaomba ushaur kwa anayejua ili apate mwanga wa tatzo ili akienda hospital ajue anaanzia wap