Msaada maswala ya Mikopo Elimu ya Juu

Msaada maswala ya Mikopo Elimu ya Juu

Joined
Aug 13, 2019
Posts
3
Reaction score
1
Mimi mwaka 2018 nilimaliza Kidato cha Sita na kuchaguliwa Mwenge University lakini sikuipenda kozi hivyo nilihairisha masomo na mkopo pia nilisitisha. Nliambiwa mwaka 2019 ningepewa mkopo kwa sababu niliuifadhi lakini haikua hivyo, nilipo riport loan board walinizngusha.

Je, nikiapply tena kunauwezekano wakupata? Wenye uelewa katika hili please msaada
 
Back
Top Bottom