nzalendo
Platinum Member
- May 26, 2009
- 12,812
- 14,403
Waungwana
Kwa jiji la dar es salaam wapi naweza pata machine ambayo itakoboa mpunga?
Nimejaribu kulima na sasa nshavuna nausomba mdogomdogo
Nauhifadhi Dar,nataka sehem ambayo waweza nikoboleshe kwa bai AHUENI.
Namtangulizieni Shukurani nyingi sanaaa.
Kwa jiji la dar es salaam wapi naweza pata machine ambayo itakoboa mpunga?
Nimejaribu kulima na sasa nshavuna nausomba mdogomdogo
Nauhifadhi Dar,nataka sehem ambayo waweza nikoboleshe kwa bai AHUENI.
Namtangulizieni Shukurani nyingi sanaaa.