Msaada: Mashine ya kukoboa/pukuchua mpunga

Msaada: Mashine ya kukoboa/pukuchua mpunga

nzalendo

Platinum Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,812
Reaction score
14,403
Waungwana

Kwa jiji la dar es salaam wapi naweza pata machine ambayo itakoboa mpunga?

Nimejaribu kulima na sasa nshavuna nausomba mdogomdogo

Nauhifadhi Dar,nataka sehem ambayo waweza nikoboleshe kwa bai AHUENI.

Namtangulizieni Shukurani nyingi sanaaa.
 
Back
Top Bottom