Msaada marafiki zangu nitakufa mimi jamani

..sijasema elfu 5 si pesa.. Ila nimekupa ushauri ambao ni njia endelevu zaidi ya kujipatia kipato haraka wewe kama demu...ambayo ni kujiuza mwili wako...hii ni njia endelevu zaidi ya kuombaomba hela mitandaoni wakati umekalia mtaji....
Mungu akusamehe that's all I can say
 
..kwa lipi?..kukupa ushauri unaweza kuchukua ama kuacha.....vinginevyo Inaonekana unatoa hukumu kwa wengine...wakati mwenye shida ni wewe... Pambana na hali yako mama....

Mungu akusamehe that's all I can say
 
..kwa lipi?..kukupa ushauri unaweza kuchukua ama kuacha.....vinginevyo Inaonekana unatoa hukumu kwa wengine...wakati mwenye shida ni wewe... Pambana na hali yako mama....
Kwahiyo unaona busara kabisa kunishauri nijiuze ili niweze kuishi?
Mungu aendelee kukusamehe tu
 
ACHA USANII BANAA.LEO TAREHE 17 NOV.ELF 5 ITAKUFIKISHAJE TAREHE 23 NOV ? KAMA SIO USANII NI NINI ? ANY WAY ! KWA NINI USIKOPE KWENYE TIMIZA YA AIRTEL UKAWALIPA BAADA YA 2 WEEKS.HATA UKITAKA KUKOPA ELF 50 WAPO POA TU,ILI MRADI UJIPANGE JINSI YA KURUDISHA.
 
Kwahiyo unaona busara kabisa kunishauri nijiuze ili niweze kuishi?
Mungu aendelee kukusamehe tu
Dada achana na wasukuma hao huwa hawanaga akili kabisaaa hao ni kabila la ajabu kuwahi kutyokea duniani ndio maana mambo yao mengi ni vichekesho tuu! Samahan lakin kama na wewe ni msukuma .ila ukweli hao jamaa ni pasua kichwa akili zao na hayo ndio huwa majibu yao maranyingi.
 
Jamani matapeli sikuhizi ni mengi yanakuja kwa njia ya shida na msaada binafsi Nimekutana nao wengi kuelezea humu muda hautoshi yani mtu anakufata umsaidie nauli kapoteza wallet unampa ukizunguka mtaa wa pili unakuta anamuomba mtu mwingine wengine sijui anasingizia ugonjwa N.K
 
..kama huna njia nyingine kabisa ya kujipatia mlo..kujiuza ni bora kuliko kuombaomba....wapo wanaojiuza wanalisha family Na hata kujenga....umalaya ni kazi ya kipato....na ni endelevu....na kujiuza si lazima ujipange barabarani....kuliko kuombaomba...unaweza kulifanya hili hata humu JF...kuliko kuombaomba kama yatima....

Kwahiyo unaona busara kabisa kunishauri nijiuze ili niweze kuishi?
Mungu aendelee kukusamehe tu
 
kama unatumia
1.m-pesa piga *150*00#
chagua 5 mpawa kisha fuata maelezo
2 .tigopesa piga *150*81#
kisha fuata maelezo
3 airtel money *150*60#
kisha chagua airtel timiza
4.Tala Tanzania – mkopo nafuu Android Google Play
5.Branch – mkopo rahisi Android Google Play
 
Unaweza kuwa serious lakini kuaminika mmh. Mungu akusaidie upate
 
Hiyo hela utumiwe kwa njia gani!? Uaminifu upo vipi?

Niombee nimle mhindi maana nina mikeka nimeiweka nasubiria itiki!!
mkuu vipi bado haujamla mhindi tu mpaka sasa hvi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…