Msaada,mama yetu amepotea

Status
Not open for further replies.
Jamani huyu mama imepita kama mwezi mmoja ivi wamesambaza picha zake kwenye whatsapp kuwa amekatwa viungo? Kumbe ni uzushi!!
 
Mkuu kutangaza makanisani na misikitini kumesaidia maana ni moja ya watu waliotoka kanisani baada ya kusikia Tangazo aliweza kumuona njiani
 
Tunashukuru mkuu maana nilitaka nikutoe hofu tu mama zetu wa kidigitali usikute kapata kaserengeti kapumzika mahala ila hoyo yawezekana mambo ya jiji tena alienda kushangaa taa tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…