Ili upete unacho kitaka, rudi nyumbani ukachukue mavi ya kuku yale malaini kisha changanya na pilipili kichaa 10, maana ya hapo tukua vumbi la upupu changanya, kisha chukua myaa weka utomvu wa kutosha kisha ukisha koroga vizuri paka usoni na hakikisha unasungua ili dawa ikae uzuri. Itakuwasha kwa mbaaaali sana ila vumilia hadi dawa ikauke na kisha utakupata unacho kitafuta....😎😶