Kuna New Force na Super Feo.
Mkuu bus namba moja ni lile lenye rangi ya mbeya city ndo linahiyo huduma ya kucharge Yale mengine hayana
Wajanja wanapanda newforce ila kama wewe mkinga au mbena super ndo magari yao
Anakojoa
hahbhaha, hapo ni kitonga kama unapafahamu tulikwama mkuu. kuna ajali ya lori lilidondokea bondeni.
charge zipo ndani ya gari katika seat unayotazamana nayo. Nimepandisha picha jaribu kupitia posti za nyuma.