Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,649
Pentagon Palace kwa usalama, parking, usafi na ubora wa vyumba wako vizuri zaidi na pametulia. Ila ukipenda sehemu ambako unaweza kujichanganya zaidi na watu kwa vyakula, vinywaji na "mambo mengine" Mtendele, Nyinda Executive 1 & 2, Macarious na Dolphin pote huko patakufaa. Na bei zao naona ziko ndani ya budget yako.
Kwa ufupi aende Chuda ndipo kuna Guest houses nyingi kiasi kwamba atachagua mwenyewe... Mie nilidhani ana mkwanja unaokaribia Laki kwa siku ili nimkaribishe Sahare kwenye maraha ndani ya Tanga Beach Resort.
Ila namshauri awasiliane na Katibu Mwanyasi kwa guidance zaidi!
Last edited by a moderator: