KAMUZUBERA
Senior Member
- May 9, 2017
- 194
- 154
Utaratibu wa vodacom ili uwe mnufaika wa bundle za chuo ni kwamba lazima uwe na kitambulisho cha chuo ,unaenda voda shop yeyote ile wanachukua details za iyo line uliyonayo especially ni number tu
Zen wanakuambia after one week inakua ishaingizwa kwenye system na unaweza tumia hizo vifurushi.
Nb:
Voda hawauzi line za chuo kama ilivyo kwa mitandao mingine
Zen wanakuambia after one week inakua ishaingizwa kwenye system na unaweza tumia hizo vifurushi.
Nb:
Voda hawauzi line za chuo kama ilivyo kwa mitandao mingine