Msaada: Lecture kamtongoza mke wangu na kumfelisha mitihani

sura mbaya

Member
Mar 5, 2013
85
13
Wakuu hii kitu inaniuma sana kuna lecturer wa economic IFM ana mfelisha mke wangu kisa anang'ang'ania avuliwe chupi. Ivi kwann hawa jamaa wanakua chanzo cha kuwaharibia maisha watu?. Naomba kwasilisha kwenu ni jinsi gani mke wangu ataweza kumuepuka huyo pepo.
 
Hapo ni sawa na kuangukiwa na nyumba...She must suffer
INABIDI Akamue sana sana sana course yake(zake) ili akija akimfelisha hasa kwenye UE akate rufaa.
 
Wakuu hii kitu inaniuma sana kuna lecturer wa economic IFM ana mfelisha mke wangu kisa anang'ang'ania avuliwe chupi. Ivi kwann hawa jamaa wanakua chanzo cha kuwaharibia maisha watu?. Naomba kwasilisha kwenu ni jinsi gani mke wangu ataweza kumepuka huyu pepo.
kwani una uhakika gani,haja mvua? mwambie akiwa nae amrekodi,umchukulie hatua za kisheria!
its simple ila nadhani,hata yeye hii post anaiona humu,unazidi kunwaribia mkeo
 
Naomba nikupe pole..na napenda tu kukuambia km unampenda kweli mkeo,fight for her!..tupe uthibitisho unaonesha hilo swala...km msg,simu,recorded audio,video na mambo km hayo...ongea na mkeo fateni utaratibu.Zungumza na lecuter mwambie amuache mkeo inaamaana mkeo katongozwa na lecturer tu hakuna mwenginee?..akuweke wazi kisha kila kitu kitatulia..maana kunakatabia sikuhizi mwanamke anatongozwa hata na watano anachagua aliyebora kisha wengine ndo anawaunguzia kwako..ila pole malizeni na lecturer hilo swala kwisha....solve kiumee
 
Naomba nikupe pole..na napenda tu kukuambia km unampenda kweli mkeo,fight for her!..tupe uthibitisho unaonesha hilo swala...km msg,simu,recorded audio,video na mambo km hayo...ongea na mkeo fateni utaratibu.Zungumza na lecuter mwambie amuache mkeo inaamaana mkeo katongozwa na lecturer tu hakuna mwenginee?..akuweke wazi kisha kila kitu kitatulia..maana kunakatabia sikuhizi mwanamke anatongozwa hata na watano anachagua aliyebora kisha wengine ndo anawaunguzia kwako..ila pole malizeni na lecturer hilo swala kwisha....solve kiumee
Kwa mwanamke anaye jitambua ni ngumu kukupa list ya wanao mtongoza. Ameniambia hvo baada ya kuferi vibaya katka hilo somo la huyo lecturer alafu ana muambia kama anataka kusahihishiwa mtihani huo aende wakaongee.
 
Wakuu hii kitu inaniuma sana kuna lecturer wa economic IFM ana mfelisha mke wangu kisa anang'ang'ania avuliwe chupi. Ivi kwann hawa jamaa wanakua chanzo cha kuwaharibia maisha watu?. Naomba kwasilisha kwenu ni jinsi gani mke wangu ataweza kumuepuka huyo pepo.

sasa tukusaidie nini, jiongeze wewe
 
Wakuu hii kitu inaniuma sana kuna lecturer wa economic IFM ana mfelisha mke wangu kisa anang'ang'ania avuliwe chupi. Ivi kwann hawa jamaa wanakua chanzo cha kuwaharibia maisha watu?. Naomba kwasilisha kwenu ni jinsi gani mke wangu ataweza kumuepuka huyo pepo.

Kama una uhakika amemfelisha kwasababu anataka papuchi, nendeni mkamshtaki. Ushahidi si mnao??

Ni ajabu una mke halafu issue ndogo kama hii unakuja kuuliza humu cha kufanya.
 
Yaani mtoto wa kiume umeshindwa kukamua hichi kijipu...kabisa....???

Hebu lete kisu na kitambaa... Pia ukae mbali kidogo maana usaha unaweza kukurukia...
 
Dah, yaani inauma hata sijui niandike nini aisee!

Pole sana, ila inabidi justification ziwepo kiasi kwamba hata akia-appeal afaulu hiyo pepa.
 
waadhili kama hawa ni vizuri, Dr watumbuliwe wanaaibisha taifa.

Mimi kama ni mke wangu bora adisco atasoma tu hata online.
 
mzamie lecture mpe ukweli,,,,akizidi unaweza chukua maamuz magumu juu yake...mfano kumuharibia kaz
 
Back
Top Bottom