msaada laptop yangu acer siielewi.

chaUkucha

JF-Expert Member
May 28, 2012
3,382
1,208
heshima kwenu wadau wa jukwaa hili, laptop yangu aina ya acer windows 7 hai-boot ukiiwasha inatokea black screen na maneno press f2 uki press f2 haifanyi chochote badala yake ina restart yenyewe na kujirudia katika hali iyo iyo na hata ukiizima haizimiki msaada wakuu yani nimekwama kabisa.
 
Isijekuwa umeweka password ya hiyo ID yako ikawa inalewa kiaina? Qie qie qie
 
1st jaribu kutoa hard drive yako na itakuja maneno gani then tupia hapa tuangalie step by step kusaidia.
 
1st jaribu kutoa hard drive yako na itakuja maneno gani then tupia hapa tuangalie step by step kusaidia.

kwahiyo niifungue laptop yote dah huu kweli mtihani kwangu maana nimezoea desktop tu!
 
Sasa mkuu hapo inakuwa ngumu kukutoa kwa tatizo lako unless uandae mfuko watu tuingie kazini tukutatulie hilo kama lah basi subiri wadau wengine wanawezakuwa na suluhisho la hilo ila kwa issue yangu cha kwanza nilitaka error msg inayotokea baada ya kutoa hard disk na kuiwasha maana machine hizo zina mbwembwe sana.
 
Sasa mkuu hapo inakuwa ngumu kukutoa kwa tatizo lako unless uandae mfuko watu tuingie kazini tukutatulie hilo kama lah basi subiri wadau wengine wanawezakuwa na suluhisho la hilo ila kwa issue yangu cha kwanza nilitaka error msg inayotokea baada ya kutoa hard disk na kuiwasha maana machine hizo zina mbwembwe sana.

Poa mkuu nathamini sana mchango wako naona wadau wengine wamenitenga nitakucheck hata pm
 
Piga window chini.....mi ninayo accer ilinizengua ivyo ivyo nikajaribu kurecovery but tatizo likawa pale pale kama umefanya partition format drive c drive d usiiguse kabisa na data zako zitakuwa safe kwenye d ila my document ndio zitapotea....accer zinamapozi sana ila motherboard zake za ukweli sana
 
Piga window chini.....mi ninayo accer ilinizengua ivyo ivyo nikajaribu kurecovery but tatizo likawa pale pale kama umefanya partition format drive c drive d usiiguse kabisa na data zako zitakuwa safe kwenye d ila my document ndio zitapotea....accer zinamapozi sana ila motherboard zake za ukweli sana

Poa nitajaribu.
 
mwana piga window7 ultimate ambayo ina tabia ya kuacha mafail yko vilevile even after formating disk C utazikuta kwenye wndow old ambapo utazichukua na kuanza kutumia km awali
 
1st jaribu kutoa hard drive yako na itakuja maneno gani then tupia hapa tuangalie step by step kusaidia.

mkuu pamoja sana hatimaye laptop imerudi katika hali yake ya kawaida baada ya kuichaji sana nimeamini kweli ina mbwembwe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom