Msaada laptop inanisumbua

Msaada laptop inanisumbua

Papushikashi

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2016
Posts
11,343
Reaction score
13,865
Laptop yangu nikichomeka waya wa chaji Ile indicator ya chaji inawaka nakuzima na chaji haingii, tatizo hili limeanza muda sio mrefu ilikuwa inachaji vizuri nashindwa kuelewa tatizo litakuwa kwenye charger, betri au laptop yenyewe
Mwenye kujua msaada tafadhari
 
Nunua adapter nyngne ndo imeharibika......

Kwa kuthbtisha chkua adapter nyngne uweke itachaji kawaida..........

[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Ckia keanza kabisa toa betri na charge hapo, alafu uwanze kujaribu kitu kimoja kimoja

1 chomeka charge kwanza kwenye laptop ikiwa hakuna betri uwangalie kuwa charge yako kuwa inatisha moto au kuchaji vizuri

Ukishaliza hapo sasa unakwenda hatua ya pili

2 hatua ya pili ni kweka betri kwenye laptop yako unajaribu kuchaji kama uvyo charge cm yako ya mkononi. Je nikicharge betri yake inakaa muda gani

Hapo utapa tu jibu nikitu gani kibovu
 
Ckia keanza kabisa toa betri na charge hapo, alafu uwanze kujaribu kitu kimoja kimoja

1 chomeka charge kwanza kwenye laptop ikiwa hakuna betri uwangalie kuwa charge yako kuwa inatisha moto au kuchaji vizuri

Ukishaliza hapo sasa unakwenda hatua ya pili

2 hatua ya pili ni kweka betri kwenye laptop yako unajaribu kuchaji kama uvyo charge cm yako ya mkononi. Je nikicharge betri yake inakaa muda gani

Hapo utapa tu jibu nikitu gani kibovu
Asanteni sana mmenisaidia
Nunua adapter nyngne ndo imeharibika......

Kwa kuthbtisha chkua adapter nyngne uweke itachaji kawaida..........

[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
Vip mkuu mbona umewahi sana kumuuliza kama tayari kafanikisha,unataka akutoe japo ka vocha nini

Hmn mkuu furah yang kuona maelekezo yang yamefanikisha dhamira ya mtu..........

[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
 
vp mkuu,imepona hilo tatzo pc ako? mana ninayo yang pia ina matatzo kam yako.msaada kam imepona
 
Laptop yangu nikichomeka waya wa chaji Ile indicator ya chaji inawaka nakuzima na chaji haingii, tatizo hili limeanza muda sio mrefu ilikuwa inachaji vizuri nashindwa kuelewa tatizo litakuwa kwenye charger, betri au laptop yenyewe
Mwenye kujua msaada tafadhari
Tatizo lipo kwenye Computer yenyewe(Circuit board)...hiyo ni dalili ya kwamba kuna chip imepiga shoti..ndio maana chaji haiwezi ingia.
 
Back
Top Bottom