Msaada: Laptop ina stuck kwenye welcome screen

Msaada: Laptop ina stuck kwenye welcome screen

halimbaya

Member
Joined
Oct 10, 2011
Posts
63
Reaction score
15
Habari wakuu,
Samahani nimepata tatizo la laptop yangu kustop kwenye welcome screen kila nikijaribu kuzima na kuwasha inaaishia hapo hapo. Nikifanya system repair inasema disk imepata tatizo. Nauliza kama naweza kupata solution ya hilo tatizo maana vitu vilivyomo ndani ndio muhimu sana.

Ambae anaweza kunisaidia anitext 0766458536 kisha nitamtafuta.

Asante.
 
Habari wakuu.Samahani nimepata tatizo la laptop yangu kustop kwenye welcome screen kila nikijaribu kuzima na kuwasha inaaishia hapo hapo.Nikifanya system repair inasema disk imepata tatizo.Nauliza kama naweza kupata solution ya hilo tatizo maana vitu vilivyomo ndani ndio muhimu sana.
Ambae anaweza kunisaidia anitext 0766458536 kisha nitamtafuta.
Asante.


Anza na kwa kuwasha huku unabonyeza F8, ikiingia kwenye kuchagua options kibao safe mode ikiwemo, shuka chini kisha bonyeza Last good configuration halafu uje utuambie kama ikigoma
 
Anza na kwa kuwasha huku unabonyeza F8, ikiingia kwenye kuchagua options kibao safe mode ikiwemo, shuka chini kisha bonyeza Last good configuration halafu uje utuambie kama ikigoma

Ok mkuu ngoja nijaribu
 
Ok mkuu ngoja nijaribu


Poa, ikikataa weka cd ya windows 7 kisha washa itakapokwambia press any key to boot from cd bonyeza key yoyote, chagua language kisha badala ya kubonyeza install windows 7, angalia chini yake kuna kitu kimeandikwa repair, ukifika hapo niambie
 
Je , laptop yako ulifanya partition ? Kama ulifanya vitu vyako viko kwenye disk ipi kati ya hizo partition zako ?
 
Je , laptop yako ulifanya partition ? Kama ulifanya vitu vyako viko kwenye disk ipi kati ya hizo partition zako ?

Nilifanya partition.Niliweka C ambayo ilikuwa na windows na programs. D na E ndio niliweka files zangu mkuu
 
Nilifanya partition.Niliweka C ambayo ilikuwa na windows na programs. D na E ndio niliweka files zangu mkuu
Ok , install operating system mpya kwenye hiyo machine yako tatizo litakwisha na data zako utazipata. Kama unawasi wasi pia wakati wa kuinstall kuna option ya kubakiza mafile wa window ya zamani ambayo utayakuta kwenye folder linaitwa windowsold , utakuta data zako huko kama za kwenye desktop , downloads , my document n.k .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom