Ngamba
JF-Expert Member
- Jun 6, 2013
- 752
- 154
naomba kama kuna mtu mwenye ujuzi na anayejua anachofanya, laptop yangu imegoma kuwaka kila ikiwaka inaishia kulongo logo ya window na kuzima nd sometime inakubali kuwaka kwenye safe mode but also wakati mwingine inazima au kugoma kabisa kuwaka, naombeni msaada , mimi nipo dar boko chama