Msaada kwenye Ubuntu 12.04LTS

tabu ya nini wakati Ubuntu inakuja loaded na office suite?
Kuna mambo nataka kuyafanya sasa shule yake kwenye libreOffice Writer inanizingua acha kabisa .So kurescue situation kwa muda ndio nahitaji niweke hizo maneno
 
Kuna mambo nataka kuyafanya sasa shule yake kwenye libreOffice Writer inanizingua acha kabisa .So kurescue situation kwa muda ndio nahitaji niweke hizo maneno

Mkuu kwani hakuna office apps mbadala ndani ya UBUNTU OS zenye kufanya kazi unaitaji, kama vipi tafuta sites zenye open source software za kukidhi mahitaji yako - mbona ziko chungu mzima mkuu; husiwe windowscentric mno - dunia inabadirika mkuu.
 
Mkuu kwani hakuna office apps mbadala ndani ya UBUNTU OS zenye kufanya kazi unaitaji, kama vipi tafuta sites zenye open source software za kukidhi mahitaji yako - mbona ziko chungu mzima mkuu; husiwe windowscentric mno - dunia inabadirika mkuu.

Inawezekana. Fuata Kiunganishi hiki: http://www.webupd8.org/2011/01/how-to-install-microsoft-office-2007-in.html

Kabla hujafuata kiunganishi ingia katika terminal na uandike command hii
wine --version
Ikileta version kubwa au sawa na 1.3 ruka step ya kwanza na uendelee na nyingine

Mafanikio mema!
BH
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom