Ahsante mkuu, ila anyetuma hana knowledge kabisa ya hiyo bitcoin sidhani kama itakuwa rahisi kwake.The safe and fastest way Is by Bitcoin
Fungua acc localbitcoins.com then after kupokea btc unauza kwa wakala wa TZ then utachagua pesa akutumie wapi (MPESA, TIGOPESA... or BANK)
Kama anaekutumia pesa ni member wa localbitcoins itachukua 5 minutes adi kushika pesa yako.
Kama sio member wa localbitcoins itachukua up to 35 minutes adi kushika pesa yako.
*Usome masharti na vigezo vya localbitcoins kwa kujiridhisha zaidi.