Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,077
- 1,439
Habari wanajamvi.
Nina ndugu yangu ana simu Tecno H6 kila akifuta meseji anazotumiwa haziondoki.
Anapozifuta mara inaonekana imefutika lakini akizima na kuiwasha zile meseji zote zilizofutwa zinarudi. Anasema hili tatizo ni tangu ameinunua.
cc: Chief Mkwawa, Mwl RCT, Njunwa na wengineo please.
Nina ndugu yangu ana simu Tecno H6 kila akifuta meseji anazotumiwa haziondoki.
Anapozifuta mara inaonekana imefutika lakini akizima na kuiwasha zile meseji zote zilizofutwa zinarudi. Anasema hili tatizo ni tangu ameinunua.
cc: Chief Mkwawa, Mwl RCT, Njunwa na wengineo please.