msaada,bricked tecno p5 baada ya kuflash xperia custom rom 4.4.2 kitkat

msaada,bricked tecno p5 baada ya kuflash xperia custom rom 4.4.2 kitkat

Innocizy

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
1,736
Reaction score
1,056
salam wakuu.
naombeni msaada wa ku-unbrick hii tecno p5.
iko hivi,nilifanikiwa kuflash custom rom kwa h5 na mwenzangu akaomba nimuwekee kwa p5.
ishu ni kwamba p5 kila nikijaribu kuweka custom recovery kwa kutumia mobileuncle na rom manager ikawa inagoma,ikabidi niweke custom recovery kwa kutumia mtk droid tool.
nikafanikiwa kupata custom recovery ila only nikiwa nimeconnect na pc..nikafanya flashing ya rom mpya ila ilipomaliza ktk ku boot inaboot na inaishia kwenye logo peke yake kisha inazima na kuwaka tena.
nilikuwa nimefanya backup ya stock rom before anything kwa mtk lakini kila nikitaka kuflash preloader.bin through sp-flash tool nikifika ktk kukonect simu,zoezi halikamiliki coz simu inawaka na kuzima tu kila baada ya sekunde..
je wakuu nifanyeje???:sad::sad::sad:

cc: Chief-Mkwawa mwl rct @c6 ymollel khalfan56
 
Last edited by a moderator:
Hili swali kama nimelielewa ila sijalielewa...
Ufafanuzi plz

volume up + power hii ni recovery hutumika kuflash rom ambazo zipo ndani ya simu

volume down + power hii ni download mode, unatakiwa uingie hapa unapoflash kitu na pc
 
volume up + power hii ni recovery hutumika kuflash rom ambazo zipo ndani ya simu

volume down + power hii ni download mode, unatakiwa uingie hapa unapoflash kitu na pc

Ipoo ila kwa hiii simu haikubali maana hata nikiwasha hivo ili iende kwa recovery yenyewe inawaka to that boot image ya xperia..
Hilo ndio tatizo mkuu
 
I-flash kwa kutumia scatter file baada ku-backup kwa mtk droid tools, ili kupata file la kuflashia kwa kutumia sp flash file kwa njia ya scatter, Kwenye mtk droid tools nenda "root,backup,recovery" upande wa chini utaona option iliyoandikwa "To prepare blocks for Flashing Tool" Bonyeza hapo itaomba ufungue "files.md5". Subiria hadi itakapomaliza.

Nenda kwenye folder la mtk nenda backup fungua file la simu ulilo-backup utakuta kuna folder limeandikwa "!Files_to_FlashTool" ndani yake ndo kuna scatter files la p5 limenadikwa "MT6572_Android_scatter".

Lakni kama unaweza kufikia Recovery kwa kubonyeza Powe+volume up nenda kwenye Backup and restore>> restore>> andvance restore kwenye file ulilo-backup utaona file linaloitwa "Boot"
NB: Backup file lazima liwe ndani ya cwm recovery.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom